Vitawe

- Maneno yenye maana zaidi ya moja huitwa vitawe.

 

  • kaa  

1.  Kuwa mahali kwa muda fulani. 

Mfano katika sentensi: Mama Njenga amekaa sana gulioni.

 

2. Kipande cheusi cha kuni kilichochomwa na kuzimwa kabla ya kuwa majivu. Hutumika kupikia kwa jiko.

Ngeli: LI - YA

Kwa wingi: Makaa

Mfano katika sentensi: Makaa yamewaka yakaisha jikoni.

 

3. Mnyama mdogo wa majini mwenye miguu sita au zaida, na gamba mwilini. 

Mfano katika sentensi: Kakangu ametengeneza mchuzi rojorojo wa kaa.

 

4. Weka makalio juu ya kitu, kama vile kiti.

Mfano katika sentensi: Mtoto ameamka na kuketi kitandani.

 

5. Kuwa na maskani mahali. 

Mfano katika sentensi: Mimi na familia yangu tunakaa Nyahururu. 

 

  • Kibibi 

1. Tamko la heshima la kumwita mtoto msichana.

2. Aina ya andazi.

 

  • Koo

1. Sehemu ya mwili.

2. Kuku wa kike aliyekomaa.

3. Familia.

 

  • Mbuzi

1. Mnyama wa kufugwa.

2. Kifaa cha kukunia nazi.

 

  • Tai

1. Ndege mla mzoga.

2. Ukosi wa blausi au shati.

3. Aina ya vazi.

 

  • Tembo

1. Pombe.
2. Ndovu.

  • Kata

1. Eneo la utawala/lokesheni.

2. Kutenganisha kitu kwa chombo k.v. kisu.

3. Kifaa cha kuchotea maji mtungini.

  • Meza 

1. Kupitisha chakula kooni hadi tumboni.

2. Kifaa cha kuandalia mlo.

 

  • Chupa 

1. Chombo cha kutilia vinywaji k.v. maji.

2. Kuruka.

 

  • Kima

1. Mnyama jamii ya nyani.

2. Nyama iliyosagwa.

 

  • Pia

1. Kiunganishi.

2. Umbo.

 

  •  Tembe

1. Kuku mdogo wa kike. 

2. Kidogo k.v. dawa. 

3. Nyumba fupi ya udongo isiyo na paa ila dari lililotengenezwa kwa udongo. 

 

  • Shuka

1. Leso. 

2. Teremka.

  • Hema

1. Kibanda cha turubali/ chandaru.

2. Tokwa na pumzi kwa nguvu.

 

  • Nyanya

1. Mamaye wazazi wangu.

2. Aina ya mboga.

 

  • Karia

1. Kijiji/kaya.

2. Kiti cha pili cha baiskeli cha kubebea mtu wa pili au kubebea mizigo.

3. Sehemu ya juu ya gari ya kubebea mizigo.

 

  •  Gofu

1. Mabaki ya jengo lililobomoka.

2. Mchezo wa magongo.

 

  • Ala 

1. Mfuko wa kuwekea kisu au upanga.

2. Neno la kuonyesha mshangao.

3. Zana ya kufanyia kazi.

 

  • Taa 

1. Chombo cha kutolea mwangaza. 

2. Samaki mkubwa mwenye umbo bapa na mkia mrefu. 

3. Nidhamu. 

  • Amba

1. Sema/eleza.

2. Neno la kukubali jambo.

3. Pengine, labda.

4. Kiwakilishi.

  • Ambo 

1. Ugonjwa ueneao, au kitu kinachoeneza ugonjwa. 

2. Kitu kama gundi kinachonata. 

 

  • Bui

1. Buibui mkubwa.

2. Rafiki.

3. Mchezo wa watoto.

 

  • Buku

1. Panya mkubwa.

2. kitabu kilichopigwa chapa. 

 

  • Mto

1. Mtaro wenye maji yanayotiririka wakati wote.

2. Mfuko ulio na pamba wa kuegemezea kichwa. Huingizwa kwenye foronya. Mara nyingi huwekwa kitini au kitandani.

 

  • Mlango

1. Uwazi wa kuingilia k.v. nyumba. 

2. Familia. -sehemu ya kitabu, sura. 

  •  Chale 

1. Aina ya pambo. 

2. Kidudu cha baharini chenye sumu. 

3. Mtu anayefanya mambo ya kuchekesha. 

4. Aina ya samaki wa baharini. 

 

  •  Changa

1. Kitu kisichokomaa, -enye umri mdogo.

2. Toa kitu k.v. fedha ili kukusanya kwa lengo fulani.

 

  • Kama (kitenzi) 

1. Mithili. 

2. Bana/kaba. 

 

  •  Ndege (Nomino)

1. Eropleni.

2. Nyuni.

 

  • Jana

1. Mtoto wa nyuki.

2. Siku kabla ya leo.

 

  • Shinda

1. Isiyojaa, kwa mfano; Debe shinda haikosi kutika.

2. Kaa mahali kutwa nzima, au kukuwa katika hali fulani kwa kipindi cha siku nzima.

3. Fanikiwa katika jambo. Pia fuzu.

4. Kuchukuwa nafasi ya kwanza katika mashindano.

5. Kulemea, kuteka na kushinda kitu/mtu/jambo kwa nguvu au uwezo. Pia kuweza.

Mfano: Kwa kuwa Simba alimshinda Sungura kwa nguvu, alimkamata na kumrarua vipande vipande.



  • kata_1 by Missouri business used under CC_BY-SA
  • kata_2 by eLimu used under CC_BY-SA
  • kata_3 by Neatly coiled used under CC_BY-SA
  • kata_4 by The bay used under CC_BY-SA
  • kibibi_2 by Tim in Kenya used under CC_BY-SA
  • Kibibi by cloudmind used under CC_BY-SA
  • koo_1 by Zadyball used under CC_BY-SA
  • koo_2 by pinterest used under CC_BY-SA
  • koo_3 by Mail Online used under CC_BY-SA
  • mbuzi_1 by eLimu used under CC_BY-SA
  • mbuzi_2 by Bright blue eyes used under CC_BY-SA
  • tai_1 by qtbird used under CC_BY-SA
  • tai_2 by About neckties used under CC_BY-SA
  • tembo_1 by Simba Nia's blog used under CC_BY-SA
  • chupa_1 by Felice Cohen used under CC_BY-SA
  • chupa_2 by Nice clip art used under CC_BY-SA
  • kima_1 by Public Domain Pictures used under CC_BY-SA
  • kima_2 by Non Veggies used under CC_BY-SA
  • meza_1 by Living wilderness used under CC_BY-SA
  • meza_2 by iFurn used under CC_BY-SA
  • Pia by Racked used under CC_BY-SA
  • shuka_1 by The Chive used under CC_BY-SA
  • shuka_2 by Various sources used under CC_BY-SA
  • tembe_1 by Robert's ranch used under CC_BY-SA
  • tembe_2 by Nailtip.net used under CC_BY-SA
  • tembe_3 by Beta news used under CC_BY-SA
  • tembe_4 by Daily Nation used under CC_BY-SA
  • ala_2 by Sellfast used under CC_BY-SA
  • ala by Grey knives used under CC_BY-SA
  • gofu by Various sources used under CC_BY-SA
  • hema by Various sources used under CC_BY-SA
  • Image-29_nyanya by Various sources used under CC_BY-SA
  • karia_1 by Daily Trust used under CC_BY-SA
  • karia_2 by pinterest used under CC_BY-SA
  • Taa by Various sources used under CC_BY-SA
  • amba by pinterest used under CC_BY-SA
  • Ambo by Various sources used under CC_BY-SA
  • Bui by Various sources used under CC_BY-SA
  • Buku by Various sources used under CC_BY-SA
  • Image-40_mto by Various sources used under CC_BY-SA
  • mlango by Various sources used under CC_BY-SA
  • chale by Various sources used under CC_BY-SA
  • changa_1 by Various sources used under CC_BY-SA
  • Image-45_kama by Daily Kos used under CC_BY-SA
  • jana by pinterest used under CC_BY-SA
  • Kama_1 by The Hindu used under CC_BY-SA
  • Kama_2 by Blood of Jesus ministries used under CC_BY-SA
  • Ndege_2 by Various sources used under CC_BY-SA
  • shinda by The Kenyan weekly post used under CC_BY-SA

  • Creative Commons License
    All work unless implicitly stated is licensed under a Creative Commons Attribution-NonCommercial-NoDerivatives 4.0 International License.