Rangi

- Rangi ni ule ubainifu au ujuaji wa miale ya mwangaza inapoingia katika kitu fulani.

 

Kunazo rangi za kila aina, mifano;

  • nyeusi
  • nili
  • nyeupe
  • hudhurungi/kahawia
  • manjano
  • rangi ya dhahabu (zari)
  • samawati/samawi
  • nyekundu
  • kijani kibichi
  • zambarau mbivu
  • rangi ya fedha
  • kijivu
  • buluu
  • rangi ya machungwa

 

Aina za Rangi.

 

B. Taja vitu mbalimbali vilivyo na rangi zifuatazo.

1. Manjano

2. Machungwa

3. Maji ya kunde

4. Dhahabu

5. Nyeusi.