Wizara mbalimbali

 

- Wizara ni idara kuu ya serikali inayosimamia na kushughulikia maswala au mambo ya nchi au ya kitaifa kwa kuongozwa na waziri.

- Wizara mbalili katika nchi yetu.

  • Wizara ya fedha.
  • Wizara ya Elimu, Sayansi and Tecknologia.
  • Wizara ya Mambo ya Nyumbani na Maswala ya Jamii.
  • Wizara ya Barabara na Ujenzi
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Mambo ya Nchi za Kigeni.
  • Wizara ya Utawala wa Mikoa na Usalama wa Taifa.
  • Wizara ya serikali na  Mitaa
  • Wizara ya Kilimo.
  • Wizara ya Habari na Mawasiliano.
  • Wizara ya Mipango na Maendeleo ya Taifa.
  • Wizara ya Leba na Ustawi wa Wafanyakazi.
  • Wizara ya Mazingira na Maliasili.
  • Wizara ya Maendeleo ya Ushirika.
  • Wizara ya Maswala ya Jinsia, Michezo,Huduma za Jamii na Utamaduni.
  • Wizara ya Nishati.
  • Wizara ya Uchukuzi.
  • Wizara ya Ustawi wa Maji.
  • Wizara ya Ardhi na Makao.
  • Wizara ya Maendeleo ya Mikoa
  • Wizara ya Turathi za Kitaifa.
  • Wizara ya Biashara na Viwanda.
  • Wizara ya Ushirikiano wa Kanda ya Afrika Mashariki.
  • Wizara  ya Mifungo na Ustawi wa Uvuvi.