Maswali kadirifu

Jibu maswali yafuatayo kikamilifu.

 

1. Kimelea kinachoishi kwenye nywele chafu ni ____________.

2. Kimelea cha ndani kinachoishi tumboni ____________.

3. Kimelea kinachosababisha uele wa malale ni ____________.

4. Kimelea ambacho kikikua huwa funza ni

5. Kimelea kinachosababisha homa ya muda kwa binadamu ni ____________.

6. Kimelea kipendacho kujificha kitandani na hunyonya damu wakati mtu amelala ni ____________.

7. Kimelea kipendacho kunata ngozini mwa mbwa na wanyama wengine ni ____________.

8. Kimelea kinachosababisha ugonjwa wa malaria ni ____________.