Mifugo

1. Mbuzi - Ni mnyama afuguaye anayefanana na swara.

2. Ng’ombe - Ni mnyama afuguaye lakini mdogo anayefanana na nyati ambaye ana faida kadha kama nnyama, maziwa na ngozi.

3. Kondoo - Mmyama wa kufuga anayefanana na mbuzi, mwenye tabia ya upole, manyoya mengi na marefu na mkia mnene mwenye mafuta mengi.

4. Nguruwe - Mmnyama mnene na mfupi afuguaye mwenye pua kubwa na ndefu, miguu mifupi na mkia mfupi ambaye waislamu hawali nyama yake kwa kuwa ni haramu.

5. Punda - Ni mnyama afuguaye wa jamii ya farasi mwenye rangi ya kijivu, lakini mdogo kuliko farasi na hutumiwa kuvuta mkokoteni au kubeba mizigo.

6. Mbwa - Ni mnyama afuguaye na binadamu ambaye hulinda boma au kumsaidi kuwinda wanyama mwitu.

7. Paka - Ni mnyama afuguaye anayependa kula panya.

8. Farasi - Ni mnyama wa jamii ya punda anayefugwa mwenye singa shingoni na mkia, ambaye hutumika kubeba watu na kukokota magari.

 



  • dog by elimu used under CC_BY-SA
  • horse by eLimu used under CC_BY-SA
  • kondoo by Inquisitir used under CC_BY-SA
  • mbuz by Animalia life used under CC_BY-SA
  • ngombe by animals 1001 worlwide used under CC_BY-SA
  • nguruwe by In fact collaborative used under CC_BY-SA
  • paka by Lovable images used under CC_BY-SA
  • punda by pinterest used under CC_BY-SA

  • Creative Commons License
    All work unless implicitly stated is licensed under a Creative Commons Attribution-NonCommercial-NoDerivatives 4.0 International License.